Mathayo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.”+ Marko 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Akawaambia: “Mna mikate mingapi? Nendeni mkaone!” Baada ya kuhakikisha, wakasema: “Mitano, na samaki wawili.”+ Luka 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini akawaambia: “Ninyi wapeni chakula.”+ Wakasema: “Sisi hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili,+ isipokuwa labda sisi wenyewe twende na kununua vyakula kwa ajili ya watu wote hawa.”+
38 Akawaambia: “Mna mikate mingapi? Nendeni mkaone!” Baada ya kuhakikisha, wakasema: “Mitano, na samaki wawili.”+
13 Lakini akawaambia: “Ninyi wapeni chakula.”+ Wakasema: “Sisi hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili,+ isipokuwa labda sisi wenyewe twende na kununua vyakula kwa ajili ya watu wote hawa.”+