Luka 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 lakini akasema: “Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa,+ na siku ya tatu afufuliwe.”+ Luka 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, lazima niende zangu leo na kesho na siku inayofuata, kwa sababu haikubaliki nabii kuangamizwa nje ya Yerusalemu.+
22 lakini akasema: “Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa,+ na siku ya tatu afufuliwe.”+
33 Hata hivyo, lazima niende zangu leo na kesho na siku inayofuata, kwa sababu haikubaliki nabii kuangamizwa nje ya Yerusalemu.+