Mathayo 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao walipofika mahali ulipokuwa umati,+ mtu fulani akamkaribia, akampigia magoti, na kusema: Marko 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa, walipowakaribia wale wanafunzi wengine, wakaona umati mkubwa umewazunguka na waandishi wakibishana nao.+
14 Sasa, walipowakaribia wale wanafunzi wengine, wakaona umati mkubwa umewazunguka na waandishi wakibishana nao.+