Luka 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Msamaria+ fulani aliyekuwa akisafiri katika barabara ile alikuja, akamkuta na, alipomwona, akamsikitikia. Luka 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akaanguka kifudifudi miguuni pa Yesu,+ akamshukuru; tena, alikuwa Msamaria.+
33 Lakini Msamaria+ fulani aliyekuwa akisafiri katika barabara ile alikuja, akamkuta na, alipomwona, akamsikitikia.