Mathayo 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wao hupenda mahali penye kuonekana zaidi+ kwenye milo ya jioni na viti vya mbele katika masinagogi,+ Luka 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu ninyi hupenda viti vya mbele katika masinagogi na salamu katika masoko!+ Luka 20:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Jihadharini na waandishi ambao hutamani kutembea wakiwa wamevaa kanzu nao hupenda salamu katika masoko na viti vya mbele katika masinagogi na mahali penye kuonekana zaidi kwenye milo ya jioni,+
6 Wao hupenda mahali penye kuonekana zaidi+ kwenye milo ya jioni na viti vya mbele katika masinagogi,+
43 Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu ninyi hupenda viti vya mbele katika masinagogi na salamu katika masoko!+
46 “Jihadharini na waandishi ambao hutamani kutembea wakiwa wamevaa kanzu nao hupenda salamu katika masoko na viti vya mbele katika masinagogi na mahali penye kuonekana zaidi kwenye milo ya jioni,+