2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
2 Kwa hiyo Abrahamu akamwambia mtumishi wake, yule mwenye umri mkubwa zaidi wa nyumbani mwake, aliyekuwa anasimamia vyote alivyokuwa navyo:+ “Tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu,+