Mathayo 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ndiyo sababu ufalme wa mbinguni umekuwa kama mtu, mfalme,+ aliyetaka kufanya hesabu+ pamoja na watumwa wake. Mathayo 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Baada ya muda mrefu+ bwana wa watumwa hao alikuja na kufanya hesabu pamoja nao.+ 1 Petro 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwake yeye+ aliye tayari kuhukumu wale walio hai na wale walio wafu.+
23 “Ndiyo sababu ufalme wa mbinguni umekuwa kama mtu, mfalme,+ aliyetaka kufanya hesabu+ pamoja na watumwa wake.
5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwake yeye+ aliye tayari kuhukumu wale walio hai na wale walio wafu.+