Yohana 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Pia ninajua kwamba amri yake inamaanisha uzima wa milele.+ Kwa hiyo mambo ninayosema, kama vile Baba alivyoniambia, ndivyo ninavyoyasema.”+ Ufunuo 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 naye amepambwa vazi la nje lililonyunyiziwa damu,+ na jina analoitwa ni Neno la Mungu.+
50 Pia ninajua kwamba amri yake inamaanisha uzima wa milele.+ Kwa hiyo mambo ninayosema, kama vile Baba alivyoniambia, ndivyo ninavyoyasema.”+