Yohana 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtunza-mlango+ humfungulia huyo, nao kondoo+ huisikiliza sauti yake, naye huwaita kondoo zake mwenyewe kwa jina na kuwatoa nje. Yohana 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+
3 Mtunza-mlango+ humfungulia huyo, nao kondoo+ huisikiliza sauti yake, naye huwaita kondoo zake mwenyewe kwa jina na kuwatoa nje.
16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+