Marko 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+ Matendo 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Sasa walipokuwa wakienda juu ya ile barabara, wakafika mahali penye maji, na towashi akasema: “Tazama! Maji; ni nini kinachonizuia nisibatizwe?”+
10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+
36 Sasa walipokuwa wakienda juu ya ile barabara, wakafika mahali penye maji, na towashi akasema: “Tazama! Maji; ni nini kinachonizuia nisibatizwe?”+