Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+ Luka 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 aliongeza hili pia kwa matendo yote hayo: alimfungia Yohana gerezani.+
3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+