Mathayo 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Njooni kwangu, nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo,+ nami nitawaburudisha ninyi. Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.