Mathayo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana mwalimu+ wenu ni mmoja, lakini ninyi nyote ni ndugu. Yohana 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninyi huniita, ‘Mwalimu,’+ na, ‘Bwana,’+ nanyi mnasema sawasawa, kwa maana ndivyo nilivyo.+