Mathayo 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akajibu, akamwambia: “Mwenye furaha ni wewe, Simoni mwana wa Yona, kwa sababu nyama na damu havikukufunulia hilo, bali Baba yangu aliye mbinguni ndiye aliyekufunulia.+ Yohana 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+
17 Yesu akajibu, akamwambia: “Mwenye furaha ni wewe, Simoni mwana wa Yona, kwa sababu nyama na damu havikukufunulia hilo, bali Baba yangu aliye mbinguni ndiye aliyekufunulia.+
15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+