15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona mambo ya kustaajabisha aliyofanya+ na wale wavulana waliokuwa wakipaaza sauti katika hekalu na kusema: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!”+ wakaghadhibika
37 Mara tu alipokaribia barabara ya kushuka Mlima wa Mizeituni umati wote wa wanafunzi wakaanza kushangilia na kumsifu Mungu kwa sauti kubwa juu ya matendo yote yenye nguvu ambayo walikuwa wameona,+