Yohana 7:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Hata hivyo, alisema hilo kuhusu ile roho ambayo wale waliomwamini wangepokea hivi karibuni; kwa maana kufikia wakati huo roho+ haikuwapo, kwa sababu Yesu hakuwa ametukuzwa+ bado. Yohana 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu alisema mambo haya, akainua macho yake mbinguni,+ akasema: “Baba, saa imefika; mtukuze mwana wako, ili mwana wako apate kukutukuza wewe,+
39 Hata hivyo, alisema hilo kuhusu ile roho ambayo wale waliomwamini wangepokea hivi karibuni; kwa maana kufikia wakati huo roho+ haikuwapo, kwa sababu Yesu hakuwa ametukuzwa+ bado.
17 Yesu alisema mambo haya, akainua macho yake mbinguni,+ akasema: “Baba, saa imefika; mtukuze mwana wako, ili mwana wako apate kukutukuza wewe,+