46 Basi akaja tena mpaka Kana+ ya Galilaya, ambako alikuwa amegeuza maji yakawa divai.+ Basi kulikuwako mtumishi fulani wa mfalme ambaye mwana wake alikuwa mgonjwa katika Kapernaumu.+
2 Waliokuwa pamoja ni Simoni Petro na Tomasi, aliyeitwa Pacha,+ na Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya na wana wa Zebedayo+ na wengine wawili kati ya wanafunzi wake.