Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mwana hawezi kufanya hata jambo moja kwa uamuzi wake mwenyewe, ila tu lile analomwona Baba akifanya.+ Kwa maana mambo yoyote yale ambayo Yule hufanya, mambo hayo Mwana pia hufanya vivyo hivyo.

  • Yohana 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yesu naye akawajibu na kusema: “Yale ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.+

  • Yohana 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 kwa sababu sijasema kutokana na msukumo wangu mwenyewe, bali Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki