Yohana 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Yesu akasema: “Nitaendelea kuwa pamoja nanyi muda kidogo zaidi kabla ya kwenda kwake aliyenituma.+ Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
33 Kwa hiyo Yesu akasema: “Nitaendelea kuwa pamoja nanyi muda kidogo zaidi kabla ya kwenda kwake aliyenituma.+
3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+