27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+
8 Vitu vyote ulivitiisha chini ya miguu yake.”+ Kwa maana yeye alivitiisha vitu vyote chini yake,+ Mungu hakuacha kitu chochote kisichotiishwa chini yake.+ Ingawa hivyo, sisi bado hatuoni vitu vyote vikiwa vimetiishwa chini yake;+