27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+
21 ambaye ataufanya upya mwili wetu wa hali ya chini+ ili uwe kama mwili wake wenye utukufu+ kulingana na utendaji+ wa nguvu alizo nazo, ndiyo, kuvitiisha+ vitu vyote kwake mwenyewe.