Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

  • 1 Wakorintho 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+

  • Waefeso 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake,+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote+ kuhusiana na kutaniko,

  • Wafilipi 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ambaye ataufanya upya mwili wetu wa hali ya chini+ ili uwe kama mwili wake wenye utukufu+ kulingana na utendaji+ wa nguvu alizo nazo, ndiyo, kuvitiisha+ vitu vyote kwake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki