Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ Matendo 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.” ’+ 1 Petro 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+
3 yeye, akijua kwamba Baba alikuwa ametia vitu vyote mikononi mwake+ na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+