Yohana 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Yesu akasema: “Nitaendelea kuwa pamoja nanyi muda kidogo zaidi kabla ya kwenda kwake aliyenituma.+ Yohana 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+
33 Kwa hiyo Yesu akasema: “Nitaendelea kuwa pamoja nanyi muda kidogo zaidi kabla ya kwenda kwake aliyenituma.+
19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+