Mwanzo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+ Isaya 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama vile mwanamke mwenye mimba anapokaribia kuzaa, anavyopata maumivu, hulia akiwa katika maumivu yake ya kuzaa, ndivyo tumekuwa kwa sababu yako, Ee Yehova.+
16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+
17 Kama vile mwanamke mwenye mimba anapokaribia kuzaa, anavyopata maumivu, hulia akiwa katika maumivu yake ya kuzaa, ndivyo tumekuwa kwa sababu yako, Ee Yehova.+