Matendo 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana hapo kwanza walikuwa wamemwona Trofimo+ Mwefeso katika jiji akiwa pamoja naye, lakini walikuwa wakiwazia Paulo alikuwa amemwingiza katika hekalu. 2 Timotheo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Erasto+ alibaki Korintho,+ lakini nilimwacha Trofimo+ akiwa mgonjwa kule Mileto.+
29 Kwa maana hapo kwanza walikuwa wamemwona Trofimo+ Mwefeso katika jiji akiwa pamoja naye, lakini walikuwa wakiwazia Paulo alikuwa amemwingiza katika hekalu.