Matendo 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa kweli, wengine walikuwa wakipaaza sauti wakisema jambo moja na wengine wakisema lingine;+ kwa maana kusanyiko lilikuwa katika mvurugo, na walio wengi kati yao hawakujua kwa nini walikuwa wamekusanyika.
32 Kwa kweli, wengine walikuwa wakipaaza sauti wakisema jambo moja na wengine wakisema lingine;+ kwa maana kusanyiko lilikuwa katika mvurugo, na walio wengi kati yao hawakujua kwa nini walikuwa wamekusanyika.