Matendo 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Sauli akainuka, na ingawa macho yake yalikuwa yamefunguka hakuwa akiona kitu.+ Kwa hiyo wakamwongoza kwa kumshika mkono na kumpeleka Damasko.
8 Lakini Sauli akainuka, na ingawa macho yake yalikuwa yamefunguka hakuwa akiona kitu.+ Kwa hiyo wakamwongoza kwa kumshika mkono na kumpeleka Damasko.