15 Kwa hiyo, basi, ninyi pamoja na Sanhedrini mfanyeni kiongozi wa kijeshi aelewe ni kwa nini anapaswa kumshusha chini kwenu kana kwamba mnakusudia kuhakikisha kwa usahihi zaidi mambo yanayomhusu.+ Lakini kabla hajafika karibu tutakuwa tayari kumuua.”+