-
Yohana 19:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Kwa hiyo Pilato, baada ya kusikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, naye akaketi juu ya kiti cha hukumu mahali panapoitwa Sakafu ya Jiwe, lakini, katika Kiebrania, Gabatha.
-
-
Matendo 12:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Lakini siku fulani iliyowekwa Herode akajivika vazi la kifalme na kuketi juu ya kiti cha hukumu na kuanza kuwatolea hotuba ya watu wote.
-
-
Matendo 25:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kwa hiyo walipokuja pamoja hapa, sikukawia, bali siku iliyofuata niliketi juu ya kiti cha hukumu na kuamuru mwanamume huyo aingizwe ndani.
-