Matendo 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini kuhusu yeye sina jambo hakika la kumwandikia Bwana wangu. Kwa hiyo nikamleta mbele yenu, na hasa mbele yako wewe, Mfalme Agripa, ili, baada ya kumhoji kihukumu,+ nipate jambo fulani la kuandika.
26 Lakini kuhusu yeye sina jambo hakika la kumwandikia Bwana wangu. Kwa hiyo nikamleta mbele yenu, na hasa mbele yako wewe, Mfalme Agripa, ili, baada ya kumhoji kihukumu,+ nipate jambo fulani la kuandika.