Mathayo 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+ Luka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baadaye siku nyingine ya sabato+ akaingia katika sinagogi, akaanza kufundisha. Na kulikuwa na mtu mmoja ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.+
25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+
6 Baadaye siku nyingine ya sabato+ akaingia katika sinagogi, akaanza kufundisha. Na kulikuwa na mtu mmoja ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.+