Matendo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia;
21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia;