Luka 24:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye alipokuwa ameketi pamoja nao kwenye mlo akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ Yohana 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yesu akaja, akachukua mkate na kuwapa,+ na samaki vivyo hivyo.
30 Naye alipokuwa ameketi pamoja nao kwenye mlo akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+