Matendo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo ikiwa Demetrio+ na mafundi walio pamoja naye wana kesi juu ya mtu fulani, siku za mahakama+ hufanywa na kuna maliwali;+ acheni walete mashtaka mtu juu ya mwenzake.
38 Kwa hiyo ikiwa Demetrio+ na mafundi walio pamoja naye wana kesi juu ya mtu fulani, siku za mahakama+ hufanywa na kuna maliwali;+ acheni walete mashtaka mtu juu ya mwenzake.