Mathayo 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Alipokuwa amekwisha kuingia katika ile nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, naye Yesu akawauliza: “Je, mna imani+ kwamba ninaweza kufanya hivyo?” Wakamjibu: “Ndiyo, Bwana.”
28 Alipokuwa amekwisha kuingia katika ile nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, naye Yesu akawauliza: “Je, mna imani+ kwamba ninaweza kufanya hivyo?” Wakamjibu: “Ndiyo, Bwana.”