9 kama wasiojulikana na bado ni wenye kutambuliwa,+ kama wanaokufa na bado, tazama! tunaishi,+ kama wanaotiwa nidhamu+ na bado hatukabidhiwi kwenye kifo,+
25 mara tatu nilipigwa kwa fimbo,+ mara moja nilipigwa kwa mawe,+ mara tatu nilivunjikiwa na meli,+ usiku mmoja na mchana mmoja nimekaa katika kilindi;
11 mateso yangu, masumbufu yangu, namna ya mambo yaliyonipata katika Antiokia,+ katika Ikoniamu,+ katika Listra,+ namna ya mateso ambayo nimevumilia; na bado Bwana alinikomboa mimi kutoka katika hayo yote.+