Wakolosai 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aristarko+ mateka mwenzangu anawatumia ninyi salamu zake, na pia Marko+ binamu ya Barnaba, (ambaye mlipokea amri kumhusu yeye ili mkamkaribishe+ ikiwa atakuja kwenu,) 2 Timotheo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Luka peke yake ndiye yupo pamoja nami. Umchukue Marko na uje pamoja naye, kwa maana yeye ni mwenye faida+ kwangu kwa ajili ya huduma.
10 Aristarko+ mateka mwenzangu anawatumia ninyi salamu zake, na pia Marko+ binamu ya Barnaba, (ambaye mlipokea amri kumhusu yeye ili mkamkaribishe+ ikiwa atakuja kwenu,)
11 Luka peke yake ndiye yupo pamoja nami. Umchukue Marko na uje pamoja naye, kwa maana yeye ni mwenye faida+ kwangu kwa ajili ya huduma.