26 Na kutoka huko wakasafiri kwenda Antiokia,+ walikokuwa wamekabidhiwa kwenye fadhili zisizostahiliwa za Mungu kwa ajili ya kazi waliyokuwa wameifanya kikamili.+
7 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa hilo kulingana na zawadi ya bure ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu nilizopewa kulingana na njia ambayo nguvu zake hutenda.+