Luka 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akaanzia Musa+ na Manabii+ wote, akawafasiria mambo yanayomhusu yeye mwenyewe katika Maandiko yote. 1 Wakorintho 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana niliwapa ninyi, kati ya mambo ya kwanza, yale niliyopokea+ pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+ 2 Timotheo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,
27 Naye akaanzia Musa+ na Manabii+ wote, akawafasiria mambo yanayomhusu yeye mwenyewe katika Maandiko yote.
3 Kwa maana niliwapa ninyi, kati ya mambo ya kwanza, yale niliyopokea+ pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+
16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,