Matendo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 bali akawaaga+ na kuwaambia: “Nitarudi kwenu tena, ikiwa Yehova anapenda.”+ Naye akasafiri baharini kutoka Efeso Waroma 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ili nitakapofika kwenu nikiwa na shangwe kwa mapenzi ya Mungu niburudishwe+ pamoja nanyi. Yakobo 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Badala yake, mnapaswa kusema: “Yehova akipenda,+ tutaishi na pia kufanya hili au lile.”+
21 bali akawaaga+ na kuwaambia: “Nitarudi kwenu tena, ikiwa Yehova anapenda.”+ Naye akasafiri baharini kutoka Efeso