15 Fanya kabisa yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa,+ mfanyakazi+ asiye na lolote la kuonea aibu,+ ukilitumia sawasawa neno la kweli.+
12 Mwenye furaha ni mtu anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+