1 Wathesalonike 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na kumngojea+ Mwana wake kutoka mbinguni,+ ambaye yeye alimfufua kutoka kwa wafu,+ yaani, Yesu, anayetukomboa sisi kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+ 1 Wathesalonike 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kwa sababu Mungu hakutuweka sisi tupate ghadhabu,+ bali tujipatie wokovu+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo.+
10 na kumngojea+ Mwana wake kutoka mbinguni,+ ambaye yeye alimfufua kutoka kwa wafu,+ yaani, Yesu, anayetukomboa sisi kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+
9 kwa sababu Mungu hakutuweka sisi tupate ghadhabu,+ bali tujipatie wokovu+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo.+