Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+ Yakobo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+