Yeremia 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+ Matendo 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova, ambaye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua,
20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
24 Nao wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova, ambaye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua,