Mathayo 27:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu, ili wanafunzi wake wasipate kamwe kuja na kumwiba+ na kuwaambia watu, ‘Alifufuliwa kutoka kwa wafu!’ na ujanja huu wa mwisho utakuwa mbaya zaidi kuliko ule wa kwanza.”
64 Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu, ili wanafunzi wake wasipate kamwe kuja na kumwiba+ na kuwaambia watu, ‘Alifufuliwa kutoka kwa wafu!’ na ujanja huu wa mwisho utakuwa mbaya zaidi kuliko ule wa kwanza.”