19 Kwa maana ikiwa mtu, kwa sababu ya dhamiri kwa Mungu, anavumilia chini ya mambo yenye kuhuzunisha naye anateseka isivyo haki, jambo hilo ni lenye kukubalika.+
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+