Luka 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Pia, kama vile mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni wao vivyo hivyo.+ 2 Timotheo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+
24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+