2 Wakorintho 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Si hayo tu, bali pia makutaniko yalimweka yeye rasmi+ kuwa mwandamani wetu safarini kuhusiana na zawadi hii ya fadhili ambayo tutaishughulikia kwa ajili ya utukufu+ wa Bwana na kwa uthibitisho wa akili yetu iliyo tayari.+
19 Si hayo tu, bali pia makutaniko yalimweka yeye rasmi+ kuwa mwandamani wetu safarini kuhusiana na zawadi hii ya fadhili ambayo tutaishughulikia kwa ajili ya utukufu+ wa Bwana na kwa uthibitisho wa akili yetu iliyo tayari.+