2Basi, ikiwa kuna kitia-moyo chochote katika Kristo,+ kukiwa na faraja yoyote ya upendo, kukiwa na ushirika wowote wa roho,+ kukiwa na upendo mwororo+ na huruma zozote
16 Zaidi ya hayo, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda+ na kutupa sisi faraja ya milele na tumaini jema+ kwa njia ya fadhili zisizostahiliwa,