Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+

  • Wagalatia 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini kwa upande wa wale walioonekana kuwa ni kitu+—hata kama walikuwa watu wa namna gani hapo zamani haileti tofauti yoyote kwangu+—Mungu hafuati sura ya nje+ ya mwanadamu—kwangu, kwa kweli, hao watu wenye kutokeza hawakunipa jambo lolote jipya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki